EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Saturday, July 14, 2012

MANJI ATAJA JESHI LAKE LA MIAMVULI, ASEMA AKICHAGULIWA NALO YANGA ITATISHA KINOMA

Manji akiwa amemuinua mkono Bin Kleb, wengine kulia ni Manyama na Nyambaya, wakati kushoto ni Sanga
MGOMBEA Uenyekiti wa klabu ya Yanga, katika uchaguzi wa Jumapili ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam Yussuf Mehboob Manji siku ya jana ametambulisha watu watano anaotaka kuchaguliwa nao wakati alipokuwa akihutubia mamia ya wanachama kwenye Mkutano wa kampeni, Uwanja wa Kaunda, uliopo makao makuu ya klabu, makutano ya Mitaa ya Twiga na Jangwani.

Manji aliwataja watu hao kuwa ni nafasi ya Makamu Mwenyekiti, Clement Sanga na Wajumbe wanne ni Abdallah Bin Kleb, Mussa Katabaro, Lameck Nyambaya na George Manyama.
Ikumbukwe uchaguzi huo mdogo unafuatia Wajumbe wengi wa Kamati ya Utendaji iliyochaguliwa miaka miwili iliyopita, akiwemo Mwenyekiti Wakili Lloyd Baharagu Nchunga na Makamu wake, Davis Mosha kujiuzulu na watakaochaguliwa Jumapili watadumu kwa miaka miwili, kumalizia kipindi cha uongozi cha waliojiuzulu.

Manji aliwaomba wanachama wa Yanga pamoja na kumchagua yeye Jumapili, pia wawachague na watu hao watano, Sanga, Katabaro, Bin Kleb, Nyambaya na Manyama, kwani ni watu ambao anaamini atafanya nao kazi vizuri na kwa ufanisi.

Alisema iwapo akichaguliwa watu hao na mambo yakawa mabaya klabuni, atakuwa tayari kujiuzulu lakini akasema atasikitika iwapo atachaguliwa pamoja na watu tofauti nao hao.

Alisema katika kipindi hiki ambacho klabu haina uongozi, watu hao watano wamekuwa wakimsaidia kujenga timu kama kusajili na kadhalika kwa kujitolea hivyo ana imani nao kwa kiasi kikubwa.

Shughuli hiyo iliongozwa na Mwenyekiti wa wanachama Vijana wa Yanga, Bakili Mohamed Makele na Mwenyekiti wa Wazee, Mzee Ibrahim Ally Akilimali, ambao waliwaomba wana Yanga kuchagua timu hiyo na mambo yatakuwa mazuri.
Umati wa wanachama wanaokadiriwa kufika 2000 au zaidi ulihudhuria mkutano huo na wakati wote walikuwa wakishangilia hotuba, kuonyesha kwamba wanaafiki.
Manji anahutubia
Manji anahutubia
Manji anahutubia kwa hisia kali
Manji anahutubia kwa msistizo
Mwenyekiti mtarajiwa Yanga
Mtu wa kazi, Bin Kleb
Pentagon inavyoonekana
Hapa anasema baada ya mwaka mmoja tu wa kuwa madarakani; Yanga itakuwa zaidi ya TP Mazembe
Manji inabidi ajenge na vyoo uwanjani akichaguliwa; Mzee huyu alishikwa wakati mkutano ukiendelea, akaamua kujisitiri hapa
Kura za Manji, Sanga, Bin Kleb, Manyama na Nyambaya zikijipoza kwa uji wa mchele
Mussa Katabaro anamwaga sera
Bin Kleb anamwaga sera, alisema yeye si mtu wa maneno, ni mtu wa vitendo
Nyambaya anamwaga sera
Kachaa anapiga mzigo wakati mkutano unaendelea
Sanga kushoto akimsalimu Bin Kleb. Katikati ni Katabaro
Akina mama nao watampa Manji na timu yake, kura zao
Hapa aanahidi kulipa kisasi cha 6+5= 11
Kampeni zinaendelea kwenye mkutano
Nyomi
Ibada zinaendelea sambamba na kusikiliza hotuba za kampeni
Nyomi
Rais na Makamu wake wakijadiliana
Nyomi
Mzee Akilimali akiwaombea kura vijana kwa hisia zote 
Rais na Makamu wake wakijipanga mapemaa 
Via BIN ZURERI

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate