EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Friday, August 17, 2012

MASTAA WA MAKALIO YA KICHINA KIMENUKA

 
Na Hamida Hassan
MASTAA wa Bongo ambao wamekuwa na tamaa ya kusaka makalio ya Kichina kwa kutumia dawa mbalimbali, huenda sasa wakaachana na mpango huo baada ya kusoma habari hii ya mwanadada April Brown(Pichani), raia wa Marekani ambaye yamemkuta makubwa.
April ambaye alikuwa mwanamitindo, kutokana na tamaa yake ya kuwa na makalio makubwa, amejikuta akikatwa miguu na mikono baada ya kuchoma sindano zenye dawa za kumuwezesha kuwa na umbile hilo.
Akizungumza kwa masikitio na mtandao mmoja wa habari za kijamii, mrembo huyo alisema: “Ni tukio lililoyateteresha maisha yangu. Nilikuwa na umbile la kawaida tu lakini nikaingiwa na tamaa na kusaka makalio makubwa.
 
“Wapo walionishauri nitumie vidonge lakini baadaye nikaambiwa naweza kupata shepu hiyo kwa kuchoma sindano.
“Nilichoma sindano hizo kwenye zahanati bubu na mwanzoni niliona mabadiliko kwa kuongezeka lakini baadaye nikaanza kujisikia hali ya tofauti, nilipokwenda hospitali wakaniambia nimepata infections (maambukizi).
 
“Kadiri siku zilivyozidi kwenda, hali yangu nayo ilizidi kuwa mbaya na nilivyokwenda kwa daktari aliniambia kwa maambukizi niliyopata kutokana na kuchomwa sindano yenye silkoni inayotumika viwandani, ilikuwa lazima nikatwe miguu na mikono.
“Sikuwa na jinsi, ilibidi nikubaliane na ushauri wao na ndipo nilipopata kilema hiki,” anasema April ambaye sasa anaendesha kampeni ya kuwaelimisha wanawake wenzake juu ya madhara ya kutumia madawa ya kuongeza makalio.
 
Aidha, wakati kikiwa ‘kimenuka’ kwa April, Bongo kuna baadhi ya mastaa ambao wanadaiwa kutumia dawa za Kichina kwa lengo la kuongeza makalio na matiti yao.
Uchunguzi uliofanywa na mwandishi wetu umebaini kuwa, baadhi ya mastaa wamekuwa wakitamani kuwa na maumbile mazuri kama waliyonayo Wema Sepetu, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ Agnes Gerald ‘Masogange’, Skaina Ally na wengineo.
Wakiongea na Ijumaa kwa nyakati tofauti, mastaa hao waliofungashia waliwatadharisha wenzao kutotumia dawa za Kichina kusaka makalio makubwa kwani yao ni orijino.
 
“Watu wasitafute kalio kama langu kwa kutumia Mchina, mimi nimepewa na Mungu hivyo kama wao hawajapewa basi wajikubali walivyo,” alisema Aunty Lulu.
Naye Agnes alisema: “Jamani madhara ya kutumia dawa za Kichina kuongeza maumbile zina madhara, tusipojiangalia tutajikuta tunajuta.”

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate