Pages

Tuesday, July 31, 2012

ZITTO; NIMEJIELEZA KWA MASAA MATATU MBELE YA SEKRETARIETI YA CHAMA

Kwa masaa 3 nimejieleza mbele ya sekretariat ya chama kuhusu tuhuma za rushwa dhidi yangu. Niliomba kutaka kutoa maelezo kwa katibu Mkuu
Nimetaka chama changu kufanya uchunguzi dhidi ya tuhuma hizi.
Kesho Nitazungumza na waandishi wa Habari ofisi za Bunge Dar Es Salaam kuanzia saa tano asubuhi. Kuendelea kukaa kimya ni silaha kwa adui.

No comments:

Post a Comment