Pages

Tuesday, November 27, 2012

Ajali zazidi kuitesa Tanzania Lori lenye namba za usajili T 229 AVP jana lilipata ajali mpakani mwa mkoa wa Njombe na Ruvuma na kujeruhi dereva na msaidizi wake.

                                                         Via songeayetu.blogspot.com
Lori lenye namba za usajili T 229 AVP jana lilipata ajali mpakani mwa mkoa wa Njombe na Ruvuma na kujeruhi dereva na msaidizi wake
Lori hilo lilikuwa limebeba shehena ya mbolea kwenda mkoani Ruvuma

Majeruhi akiwa amebanwa ndani ya gari
Moja kati ya wasamalia akijaribu kumtoa dereva aliyekandamizwa ndani ya gari bila mafanikio. 

No comments:

Post a Comment