Pages

Wednesday, November 28, 2012

MAMA WA RAY C AFUNGUKUKA MWANAE KUZUSHIWA KIFO.

MAMA mzazi wa Ray C amefunguka kuhusu uvumi ulizogaa kuwa mwanae amefariki dunia.

Mapema usiku huu, zilisambaa habari kwenye mitandao ya kijamii kuwa mwimbaji nyota wa kike Ray C amefariki dunia.
Akiongea kwa njia ya simu kwenye kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM muda mfupi uliopita, Mama wa Ray C alisema uvumi huo si wa kweli na hajui habari hizo zimetokea wapi.
“Nakataa kabisa, tena nakataa kwa jina la Yesu, hizo habari ni za uongo, alisema Mama huyo na kusema mwanae anaendelea vizuri na matibabu, anakula vizuri na anapata usingizi.Via Saluti 5

No comments:

Post a Comment