Pages

Tuesday, January 29, 2013

UNATAKA KUPATA KTABU CHA SHIGONGO BURE?

BAADA YA KUSUBIRIWA KWA HAMU, HATIMAYE KILE KITABU 'Kifo ni Haki Yangu' CHA MTUNZI MAHIRI WA RIWAYA NCHINI TANZANIA, Eric James Shigongo, hatimaye kiko tayari kuanza kuuzwa karibu yako. Kwa wasomaji wa mtandao huu, mnayo nafasi kubwa ya kukipata BURE, unachotakiwa kufanya ni kuhakikisha wewe ni mwanachama au umeshajisajili katika mtandao huu, kama bado fanya hivyo kuanzia leo kisha usubiri utaratibu wa kujipatia kitabu hiki na vingine BUREEE...Stay Tuned!

No comments:

Post a Comment