Pages

Saturday, March 30, 2013

NI AIBU... NDANI YA BESENI MBAGALA CHARAMBE DAR.

Ilikuwa sherehe ya aina yake wenyewe wanaita beseni.
Beseni ni zawadi ambayo hupelekewa mzazi aliyejifungua nguo,mafuta na sabuni za mtoto ni Mbagala Charambe kwa mdada huyo aliyejifungua siku chache zilizopita.Wazazi wa mwana dada huyo walijipanga na kumnunulia besen!!!!!!!
                                                           Matukio katika picha.
Waliandaa ngoma,muziki kwa ajili ya sherehe hiyo,pia waliandaa chakula na pombe.Baada ya kukabidhi beseni walianza kusherekea kwa kucheza muziki. 

Cha ajabu  muda ulivyozidi kwenda  WALICHEZA HUKU WAKIVUA NGUO   kama wanavyoonekana katika picha.

Ni aibu sana mbele ya watoto wanacheza na kuvua ngua,watoto wamejifunza nini!!!!!!!! Kuna umuhimu wa Serikali kuziangalia sherehe hizi za mitaaani kwa kuwa zina mafundisho mabaya kwa jamii yetu.
IRENE MWAMFUPE JAMII Blog tumeshangazwa na aibu hii!!!!!!!!!!!!

No comments:

Post a Comment