WABUNGE WALIVYOKUWA JESHINI,PICHA 10 HIZI HAPA ZIKIMUONESHA ZITTO NA WABUNGE WENGINE
Wakiwa shambani pamoja ni
Wabunge Zitto Kabwe, Iddi Azzan, Abdallah Haji, Raya Ibrahim na Antony
Mbassa kwenye kambi ya Mgambo 835KJ.
Zitto Kabwe akijiandaa kwenda katika gwaride la mwisho
Mbunge wa Kigoma Kaskazini,
Zitto Kabwe anayefuata ni Mbunge wa Kinondoni Iddi Azzan, wakiwa kwenye
Paredi ya kumaliza mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT Kikosi cha 835
Mgambo JKT kambi iliyopo katika Kata ya Mgambo ilayani Handeni Mkoa wa
Tanga.
Mbunge wa Kinondoni Iddi Azzan
pamoja na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, ZItto Kabwe, wakihitimu mafunzo
ya JKT katika kambi ya 835 Mgambo JKT iliyopo Tarafa ya Mzundu wilayani
Handeni Mkoa wa Tanga.
Mbunge wa Kinondoni Iddi
Azzan, akiapa wakati wa kumaliza mafunzo ya JKT katika Kambi ya 835 ya
Mgambo JKT, iliyopo katika Tarafa ya Mzundu wilayani Handeni Mkoa wa
Tanga.
Wabunge Halima Mdee na Ester
Bulaya pamoja na wenzao wakila kiapo wakati wa kuhitimu mafunzo ya muda
mfupi yaliyofanyika katika kambi ya jeshi la Kujenga Taifa Ruvu JKT huko
Kibaha Mkoani Pwani.
Wakiapa mbele ya kaimu Mkuu wa
Mkoa wa Tanga, Muhingo Rweyemamu wakati wakimaliza mafunzo ya JKT,
katika Kambi ya Mgambo kikosi cha 835 wilayani Handeni, Mkoa wa Tanga.
Mbunge Viti maalum Raya Khamis
, akiapa wakati wa kumaliza mafunzo ya JKT katika Kambi ya 835 ya
Mgambo JKT, iliyopo katika Tarafa ya Mzundu wilayani Handeni.
Mbunge wa Kiwani Pemba,
Abdallah Haji Ali, , akiapa wakati wa kumaliza mafunzo ya JKT katika
Kambi ya 835 ya Mgambo JKT, iliyopo katika Tarafa ya Mzundu wilayani
Handeni Mkoa wa Tanga.
Mbunge wa Kigoma Kaskazini
Zitto Kabwe, akipokea cheti cha kuhitimu mafunzo ya muda mfupi kwa
viongozi kutoka kwa kaimu Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Muhingo Rweyemamu
wakati wakimaliza mafunzo ya JKT, katika Kambi ya Mgambo kikosi cha 835
wilayani Handeni Mkoa wa Tanga.
Mbunge wa Biharamulo, Dk
Athanas Mbassa, akiapa wakati wa kumaliza mafunzo ya JKT katika Kambi ya
835 ya Mgambo JKT, iliyopo katika Tarafa ya Mzundu wilayani Handeni
Mkoa wa Tanga. picha na Hussein Semdoe.
Rais na Amiri Jeshi Mkuu, Dk
Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi cheti cha kuhitimu mafunzo ya muda
mfupi kwa viongozi, mbunge wa viti maalum Ester Bulaya leo katika kambi
ya Ruvu JKT.
Baadhi ya waliokuwa katika Kambi ya Mgambo kikosi cha 835 wilayani Handeni Mkoa wa Tanga.
No comments:
Post a Comment