David Beckham apewa kadi nyekundu ya kwanza PSG dakika 10 baada ya kuingia uwanjani.
David Beckham kiungo mahiri wa PSG alikutwa na majanga hayo dakika ya kumi ya baada ya kuingia uwanjani.Hata hivy timu yake ilishinda 1-0 Evian 1-0.Bao la PSG liliwekwa kimiani dakika ya 50 na Javier Pastore.
No comments:
Post a Comment