FREEMAN MBOWE ALIPOTEMBELEA WAHANGA WA MLIPUKO WA BOMU ARUSHA.
Mwenyekiti
wa Chadema Taifa, Mh Freeman Mbowe akimjulia hali Apolinary Malamsha,
mmoja wa majeruhi 20 waliolazwa katika hospitali ya St Elizabeth ya
Jijini Arusha. Mbowe alifika hospitalini hapo mara baada ya kuzuru
Kanisani mlipuko ulipotokea na kuwapa pole wafiwa na kuwataka wawe
wavumilivu huku wakitaraji serikali itawapata wahusika ili ijulikane
lengo la kufanya ulipuaji ule ni nini Baadae alienda Hopsitali ya Mt
Meru na kisha nyumbani kwa familia iliyofiwa na mtoto wao wa miaka 9.
Mwenyekiti
wa Chadema Taifa, Mh Freeman Mbowe akimjulia mmoja wa majeruhi
waliolazwa katika hospitali ya Mt Meru ya Jijini Arusha jana. Mbowe
alifika hospitalini hapo mara baada ya kuzuru Kanisani mlipuko
ulipotokea na kuwapa ole wafiwa na kuwataka wawe wavumilivu huku
wakitaraji serikali itawapata wahusika ili ijulikane lengo la kufanya
ulipuaji ule, hiyo ni baada ya kutoka Hopsitali ya St Elizabeth na kisha
nyumbani kwa familia iliyofiwa na mtoto wao wa miaka 9.
No comments:
Post a Comment