Pages

Friday, June 28, 2013

JIHADHARI NA UTAPELI ZIARA YA OBAMA

  Habari na Haika Lawere
Jioni hii kuna jamaa kanipigia simu eti yeye ni mtu wa jeshi la police,anahitaji sehemu ya kulaza madereva watakaoendesha msafara wa Obama.
Na akasema Obama anakuja leo sio J3!!Hao madereva wametokea Kenya na Uganda wenye uwezo wa kuzungumza kiingereza,kwa kuwa wa-tz hawajui kuongea kiingereza.Akaniuliza nina vyumba vingapi available nikamuambia 23,vingine 20 viko occupied,akaniambia subiri azungumze na bossi wake,baada ya dk chache akanipigia simu kuwa bossi amekubali hao drivers waje kwetu, tukapigiana mahesabu kwa siku nane watakazokaa kwa bei ya dola 50 per room(aliyosuggest yy)tukapata amount fulani hivi kubwa kidogo!Akasema sasa mama kuna kijana anatoka ofisini anakuletea Cheque sasa hivi ya million 13!!!duh nikashangaa/kufurahi lakini nikashtuka sana how come can this be possible,then kasema 10% yake atakuja kuichukua cheque ikisha clear ila akaniambia ati nimpe uyo kijana anayeleta cheque 500,000 mh??sasa nikamuuliza biashara hatujafanya,sina cash yeyote?cheque ni karatasi tu!!!how come nikupe hela sijaona watu wana check-inn??sina cash??Jamaa asikate simu faster!!!!hahaaaaa hii ilikuwa kali ya kuanzia weekend lol!!!!!Haya service provider wenzangu muwe careful na hii ziara ya Obama isitulize!!!

No comments:

Post a Comment