Pages

Thursday, June 27, 2013

WATOTO WAISHIO KATIKA MAZINGIRA MAGUMU RUVUMA WATOA WITO.

Meneja wa Mradi wa MWEI wa Vodacom Tanzania,Bi.Mwamvua Mlangwa(kushoto)akimkabidhi moja ya msaada mhasibu wa kituo cha watoto yatima cha Ujirani mwema kilichopo Songea mkoani Ruvuma.
 Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania Rukia Mtingwa na Michael Kipuyo wakiwa katika picha ya pamoja na watoto waishio kwenye mazingira hatarishi wa kituo cha Ujirani Mwema wilayani Songea baada ya kukabidhi msaada wa chakula na vifaa mbali mbali kwa watoto zaidi ya 60 wanaolelewa hapo.
Meneja wa Mradi wa MWEI wa Vodacom Tanzania,Bi.Mwamvua Mlangwa(kushoto)akimfariji mmoja wa watoto wanaolelewa katika kituo cha watoto yatima cha Ujirani mwema kilichopo Songea mkoani Ruvum,Mara walipotembelea kituo hicho kwa lengo la kutoa misaada mbalimbali.

No comments:

Post a Comment