BONDIA Francis Cheka ameendeleza umwamba wake baada ya kumgonga
Mmarekani Phil Williams kwa pointi. Cheka ameshinda pambano hilo la WBF
lililokuwa la raundi 12 ambalo limepigwa kwenye ukumbi wa Diamond
Jubilee.
Bondia Francis Cheka akiwa ulingoni na Mmarekani Phil Williams (kulia).
Francis Cheka (kushoto) akimtupia konde mpinzani wake kutoka nchini Marekani, Phil Williams. Cheka ameshinda kwa pointi.
No comments:
Post a Comment