Pages

Saturday, August 31, 2013

CHEKA NOMA, AMCHAKAZA MMAREKANI KWA POINTI.

BONDIA Francis Cheka ameendeleza umwamba wake baada ya kumgonga Mmarekani Phil Williams kwa pointi. Cheka ameshinda pambano hilo la WBF lililokuwa la raundi 12 ambalo limepigwa kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee.
Bondia Francis Cheka akiwa ulingoni na Mmarekani Phil Williams (kulia).
Francis Cheka (kushoto) akimtupia konde mpinzani wake kutoka nchini Marekani, Phil Williams. Cheka ameshinda kwa pointi.

No comments:

Post a Comment