Pages

Sunday, August 18, 2013

MAN UNITED YAANZA VYEMA, YAIFUMUA SWANSEA 4-1

KULIKUWA kuna mtu kwenye benchi la ufundi, lakini Manchester United imeendelea kuwa ile ile, ya ushindi baada ya kocha David Moyes kuiongoza timu hiyo kupata ushindi mnono wa mabnao 4-1 ugenini usiku huu katika mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu ya England.
 Double up: Danny Welbeck extended Manchester United's lead by firing home from close range
  Mawili: Danny Welbeck ameifungia mawili Manchester United
 
Mfungaji bora wa msimu uliopita, Robin van Persie amefunga mabao mawili sawa na Danny Welbeck kuipa United pointi tatu muhimu.
Van Persie alifunga mabao yake katika dakika za 34 na 72 wakati Welbeck alifunga dakika ya 36 na 90 na bao la kufutia machozi la wenyeji lilifungwa dakika ya 82 na Wilfried Bony.
 
Kikosi cha Manchester United kilikuwa: De Gea, Jones,  Ferdinand, Vidic, Evra, Valencia, Carrick, Cleverley, Giggs/Rooney dk61, Welbeck na Van Persie/Anderson dk86. 
 
Swansea: Vorm, Rangel, Flores, Williams, Davies, Britton/Bony dk46, Canas/Ki dk76, Shelvey, Dyer, Routledge/Hernandez dk46 na Michu.
Red hot: Robin van Persie lashed in Manchester United's third goal and his second, from long range
Wekundu moto: Robin van Persie akiifungia Manchester United bao la tatu
Time for No 10: Wayne Rooney made his return to Manchester United first team duty
Time for No 10: Wayne Rooney made his return to Manchester United first team duty
Zamu ya Namba 10: Wayne Rooney amerejea kikosini Manchester United 
Sensational: Robin van Persie opened the scoring with this acrobatic effort
Babu kubwa: Robin van Persie akifunga bao la kwanza
How's that? Robin van Persie celebrates with Patrice Evra after his goal
Imekaaje hii? Robin van Persie akishangilia na Patrice Evra baada ya kufunga
Van Persie goal
Keeping his cool: David Moyes (centre) with Phil Neville watching as his United side took a first-half lead
Ametulia tuli: David Moyes (katikati) akiwa Phil Neville wakiangalia United yao ikifanya maangamizi

Celebration time: United players join Welbeck after he pounced on a loose ball and converted
Wakati wa kusherehekea: Wachezaji wa United wakiungana na Welbeck kumpongeza
Better than last year? Welbeck only scored one goal in the Premier League in the whole of last season
Mkali kuliko mwaka jana? Welbeck alifunga bao moja tu katika Ligi Kuu England msimu uliopita
Taking no prisoners: Jose Canas feels the force of a challenge from Welbeck
Jose Canas akikabiliana na Welbeck
Good times: Moyes roars with delight as United turn the screw on Swansea
Wakati mzuri: Moyes akitoa maeekezo
Destination unknown: Rooney pictured on the bench, watching as his colleagues took charge of the game
Benchi: Rooney alianzia benchi
Enter Wazza: Rooney prepares to come on
Van's the main man

No comments:

Post a Comment