Pages

Wednesday, August 14, 2013

MOTO MKUBWA WATEKETEZA MARANGU PLAZA LODGE ILIYOPO GONGO LA MBOTO JIJINI DAR.

Marangu Plaza Lodge wakati ikiungua kwa moto.
Sehemu ya wananchi wakishuhudia moto huo.

Mabati yakianguka wakati wa moto huo.
Moto mkubwa umeteketeza hoteli (Lodge) ya Marangu Plaza iloyopo Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam saa nane usiku wa kuamkia leo. Chanzo cha moto pamoja na mali zilizoteketea bado havijajulikana.
(PICHA: IMELDA MTEMA GPL)

No comments:

Post a Comment