Gari hilo ni aina ya Jaguar ambalo namba zake za usajilihazionekani vizuri ila mwishoni zinasomeka T…CHL,huku akiandika kwenye instragram kuwa… J aguar don'tcare...CHL means Chalamila Family.....Pongezi za kutosha zikufikie Ray C popote ulipo. Huoni mwanzo mzuri baada ya mateso ya madawa yakulevya yaliyokufanya uwe teja
No comments:
Post a Comment