Pages

Friday, September 20, 2013

STAA wa Bongo Fleva Rehema Chalamila‘Ray C’ ameamua kuianika gari yake ambayo anatembelea kwa sasa ...


Gari hilo ni aina ya Jaguar ambalo namba zake za usajilihazionekani vizuri ila mwishoni zinasomeka T…CHL,huku akiandika kwenye instragram kuwa… J aguar don'tcare...CHL means Chalamila Family.....Pongezi za kutosha zikufikie Ray C popote ulipo. Huoni  mwanzo mzuri  baada  ya mateso ya madawa  yakulevya yaliyokufanya  uwe teja

No comments:

Post a Comment