MANGI NA MBINGUNI WAPI NA WAPI!
Mangi alipokufa aliulizwa na
MALAIKA:kulia kwako ni peponi, kushoto ni Jehanam. unapenda uende wapi?
MANGI: Nitabaki katikati ya peponi na Jehanam
MALAIKA:Kwanini?!
MANGI:nikifungua duka hapo wote wa mbinguni na jehanam watafika kununua bidhaa.
Chezea mchaga wewe,,,,
No comments:
Post a Comment