Pages

Tuesday, January 28, 2014

MZEE DUDE AFARIKI DUNIA

Mzee Dude enzi za uhai wake.
MSANII wa kundi maarufu la vichekesho na uigizaji la Futuhi, Mzee Dude amefariki dunia akiwa katika Hospitali ya Rufaa Bugando iliyopo jijini Mwanza siku ya jana jioni!
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMEN!

No comments:

Post a Comment