"Ikipatikana Katiba yenye usawa wa kijinsia, tatizo la wanawake
wanaojiuza litakwisha!" Hayo ni maneno ya mwanamke mpiganaji Bi Sophia
Jonas alipozungumza na Super Woman Joyce Kiria kupitia kipindi cha
Wanawake Live kinachorushwa na EATV kila Jumanne saa tatu kamili usiku.
No comments:
Post a Comment