Pages

Monday, April 21, 2014

DOGO LILA NA DOGO HILAL WAKIFANYA YAO NDANI YA DAR LIVE

Dogo Lila na Dogo Hilal wakifanya makamuzi ya nguvu ndani ya Dar Live.

Dogo Lila akizidi kudatisha mashabiki waliofurika ndani ya Dar Live.
MADOGO wawili wenye uwezo mkubwa kimuziki, Dogo Lila na Dogo Hilal wamepiga shoo ya ukweli katika ukumbi wa Dar Live jioni hii. Dogo Lila ambaye ana kipaji cha kuimba na kucheza kwa sasa anasomeshwa na staa wa muziki Bongo, Diamond Platnumz katika shule ya East Africa International. Madogo hawa wote wanasoma shuleni hapo Lila akiwa darasa la nne, Hilal la tano. 

No comments:

Post a Comment