Pages

Monday, April 21, 2014

WATOTO WALIVYOJIACHIA NA PROFESA CALABASH DAR LIVE SIKUKUU YA PASAKA


Watoto wakiwa wamepagawa na mambo ya Profesa Calabash.
Watoto wakijiachia kwenye swimming pool lililopo ndani ya Dar Live katika Sikukuu ya Pasaka.

Watoto wakijiachia katika bembea lililopo Dar Live.
Mwanamazingaombwe Profesa Calabash baada ya kumchinja kuku tayari kwa kumpika bila kutumia moto.
Profesa Calabash akimnyonyoa kuku kwa ajili ya kumpika bila kutumia moto.
Watoto wakifuatilia mazingaombwe kutoka kwa Profesa Calabash.
...Kuku baada ya kuchinjwa.
Profesa Calabash akitoa maelekezo ya shindano la kupanga herufi.
Watoto walioibuka kidedea katika shindano la kupanga herufi lililokuwa linaendeshwa na Profesa Calabash.

No comments:

Post a Comment