Pages

Monday, June 23, 2014

ALGERIA YANUSA 16 BORA KOMBE LA DUNIA BAADA YA KUWACHAPA KOREA 4-2

Islam Slimani wa Algeria akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza dhidi ya Korea Kusini usiku huu katika ushindi wa 4-2 mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia nchini Brazil. Algeria inapanda nafasi ya pili kwa pointi zake tatu, nyuma ya Ubelgiji yenye pointi sita, Urusi na Korea zina pointi moja kila mmoja. Algeria itamaliza na Urusi mechi ya mwisho ya kundi hilo.    

No comments:

Post a Comment