Pages

Saturday, June 7, 2014

BENKI YA EXIM SHINYANGA YASAFISHA SOKO KUU SHINYANGA KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI


 Wafanyakazi wa Benki ya Exim ya Tanzania Tawi la Shinyanga wakisafisha eneo la Soko Kuu mkoani humo katika kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani ambayo uadhimishwa kila ifikapo tarehe 5 mwezi wa 6 kila mwaka.

No comments:

Post a Comment