Pages
(Move to ...)
Nyumbani
Chombezo
Mahusiano
Makala
Saikolojia
Matangazo
Staa Wetu
Michezo
Magazeti
Makala
▼
Saturday, August 2, 2014
JOSE CHAMELEONE AFANYA MAKAMUZI MAISHA CLUB DAR
Msanii mkubwa wa Uganda, Joseph Mayanja 'Dr Jose Chameleone' akitoa burudani usiku wa kuamkia leo Maisha Club jijini Dar.
...Burudani ikiendelea ndani ya Maisha Club.
Msanii mkongwe wa Bongo Fleva
,
Professor Jay ( kulia) akitoa burudani na
Jose Chameleone
.
Jose Chameleone
akicheza na shabiki wake.
...Akiendelea kucheza na wanadada waliopanda jukwaani.
Msanii wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee 'Vee Money' akitoa burudani.
...Mashabiki wakiendelea kuburudika.
Msanii wa Bongo Fleva anayesimamiwa na Wema Sepetu kupitia Endless Fame, 'Mirror'
akitoa burudani ukumbini.
(PICHA: MUSA MATEJA, SHAKOOR JONGO/GPL)
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment