Pages

Saturday, August 30, 2014

Rihanna Anasema Kwake Huyu Ndio Mwanaume Mwenye Mvuto Zaidi Duniani

265722-rihanna-503 
Msanii Rihanna aliyewahi kuwa na mahusiano na wasanii wenzake Drake na Chris Brown amefunguka hivi karibuni kwenye interview na Elle kuwa mwanaume anayeamini ana mvuto zaidi duniani ni mwigizaji Vince Vaughn.
Rihanna amewahi kutajwa kuwa mwanamke mwenye mvuto zaidi na mtandao wa FHM & Maxim and having been namna pia mwanamke mwenye mvuto zaidi aliyehai na jarida la Esquire’ 2011.

Vince-Vaughn-vince-vaughn-287732_1024_768

No comments:

Post a Comment