Pages

Sunday, August 31, 2014

SOUTHERN AFRICAN FASHION SHOW YAFANYIKA KWA KISHINDO‏

Washereheshaji wakifanya vitu vyao kwenye usiku wa onesho la mavazi kutoka kwa wanamitindo na wabunifu mbalimbali wa nchi za kusini mwa Afrika wakiwemo wabunifu wawili Watanzania waliopendezesha maonesho hayo.
 
Juu na chini ni bendera kutoka nchi washiriki zikipita kwenye ufunguzi wa maonesho hayo yaliyofanyika siku ya Ijumaa Agosti 29, 2014 Silver Spring, Maryland nchini Marekani.
Kwa picha zaidi bofya HAPA

No comments:

Post a Comment