Pages

Wednesday, October 29, 2014

Ajali mbaya yaua eneo la Tengeru, Arusha

Imetokea ajali mbaya eneo la Tengeru kuelekea Usa, kati ya lory na gari dogo la abiria (hiace) watu kadha wamefariki na majeruhi ni wengi.
Picha ndio hizo hapo.
Watu 9 wamekufa na wengine 2 wamejeruhiwa baada ya basi dogo la abiria Toyota Hiace kugongana uso kwa uso na lori mafuta katika eneo la Usa River, Arusha

Source; RADIO ONE STEREO

No comments:

Post a Comment