Pages

Wednesday, November 26, 2014

PATI YA BETHIDEI YA BABY MADAHA UCHAFU 85%


Stori: Issa Mnally
SHEREHE ya siku ya kuzaliwa ya msanii wa muziki na filamu, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Kijitonyama jijini Dar es Salaam, ilitawaliwa na vitendo vichafu mwanzo mwisho.
Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’akiogeshwa pombe na mashosti zake.
Hafla hiyo iliyohudhuriwa na watu wachache wakiwemo baadhi ya wasanii, ilifanyika katika Grosari moja iliyopo Kijitonyama.Miongoni mwa mastaa waliohudhuria alikuwa ni mcheza soka wa zamani wa timu ya Yanga ya jijini Dar, Samson  Mwamanda.
Sherehe hiyo iliyoanza mishale ya saa 6.00 usiku ilitawaliwa na vituko kibao vilivyowaacha midomo wazi baadhi ya wahudhuriaji.Moja ya vituko hivyo ni pale Baby Madaha aliyekuwa amekolea kwa kilevi alipoamua kupigana denda laivu na msanii Isabela Mpanda ambaye naye alikuwa kachangamka ile mbaya.

Baby Madaha akifurahia bethidei na shosti yake Isabela.
Isabela alikuwa kituko zaidi kufuatia kuvaa kinguo kifupi cha pinki kilichoacha sehemu kubwa ya mwili wake, hasa kuanzia mapajani kuwa wazi.
Msanii huyo pamoja na kujitupa huku na huko kilevi na kucheza muziki kwa kukata nyonga kinoma, alikuwa akiinua nguo yake juu na kuonesha kufuli lake ‘white’ na kujishika sehemu za nyuma jambo lililomfanya mmoja wa wahudhuriaji kusema:
Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’akiwa amelowa pombe.
“Jamani pombe ni noma, mnaona mambo ya aibu anayoyafanya Isabela?”
Kituko kingine ni pale mastaa hao waliokuwa bwii kwa kilevi akiwemo Mwamanda, walipoamua kummwagia pombe kichwani na kwenye nguo zake Baby Madaha baada ya kumuimbia wimbo wa ‘Happy birth day to you…!’
JIUNGE NA SIMU DOKTA SASA UPATE USHAURI KUHUSU AFYA YAKO

Comment
Follow – Email me when people comment
Comment by Matilanga Lukingita 12 minutes ago
Huyu Isabela kweli  ni sheeeeedah!! Kazi kwake Luteni K.......
Awaiting Approval: Approve or Delete
Comment by Matilanga Lukingita 26 minutes ago
Wote malaya hawa
Awaiting Approval: Approve or Delete
Comment by disminder 2 hours ago
Delete Comment
BRENDEREEEEEEEEEE

NI SUPERMARKET GANI BORA KULIKO ZOTE KATI YA HIZI? NA KWA NINI? TOA MAONI YAKO!
  




Forum

POLISI KUPAMBANA NA WANAHABARI, WAFUASI WA CHADEMA NANI ALAUMIWE?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by mark gibson on Friday. 11 Replies
Jeshi la Polisi likiwa na silaha pamoja na mbwa, Septemba 18, mwaka huu limepambana na wafuasi wa Chadema na wanahabari waliofika katika Makao Makuu ya Jeshi la Polisi jijini Dar kufuatilia tukio la Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe…
Tags: VURUGU

KIU YA WATANZANIA NI IPI, SERIKALI MBILI AU TATU?

Started by Global Publishers Ltd in Siasa. Last reply by mark gibson yesterday. 29 Replies
Kitendawili kilichopo katika taifa leo kwa sasa ni juu ya serikali ngapi zinafaa kuelekea kupata Katiba Mpya, Serikali mbili au Serikali tatu?TOA MAONI YAKO HAPA!
Tags: katiba, siasa

JUAN MATA KUTUA MANCHESTER UNITED ATASIADIA KULETA MATOKEO BORA BAADA YA TIMU KUSUASUA?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by mark gibson on Thursday. 88 Replies
Juan Mata anataraji kutua Manchester United akitokea klabu ya Chelsea ya…

KUKAMATWA WATANZANIA NA MADAWA YA KULEVYA KILA MARA, TATIZO NI NINI?

Started by GLOBAL in Habari. Last reply by mark gibson on Friday. 45 Replies
VITENDO VYA KUKAMATWA WATANZANIA NA MADAWA YA KULEVYA KWA SASA VIMEZOELEKA. KATIKA NCHI MBALIMBALI WATANZANIA WAMEKUWA WAKIKAMATWA KWA UBEBAJI WA MADAWA HAYO. JE, TATIZO NI NINI? NA NINI KIFANYIKE?
Tags: MARA, TATIZO, NI, NINI?, KILA

JESHI LA POLISI KUTOA MILIONI 100 KWA ATAKAYEWEZESHA KUPATIKANA WAHALIFU WANAOMWAGIA WATU TINDIKALI NI KWAMBA LIMESHINDWA KAZI?

Started by GLOBAL in Maisha. Last reply by mark gibson on Friday. 74 Replies
Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam.Jeshi la Polisi…

SIMBA SC WAMTUPIA VIRAGO JUMA KASEJA

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by mark gibson on Saturday. 12 Replies
TIMU ya Simba SC leo imetangaza rasmi kuachana na mlinda mlango wake mahiri, Juma…

JE, NI SAHII KWA JESHI LA POLISI KULIPUA MABOMU WAKATI WANANCHI WAKIAGA MIILI YA WENZAO?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by mark gibson on Sunday. 36 Replies
Juzi (Jumanne) polisi walilipua mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) waliokuwa wamekusanyika katika Viwanja vya Soweto jijini Arusha kwa ajili ya kuaga miili ya wenzao watatu waliopoteza maisha katika…

UKIMYA WA VYOMBO VYA DOLA KUTOA TAARIFA ZA MATUKIO YA MAUAJI NA UTEKAJI NI ISHARA KUWA WANAHUSIKA?

Started by GLOBAL in Habari. Last reply by mark gibson on Monday. 21 Replies
Absalom Kibanda akiwa ICU.USIKU wa Jumanne ya Machi 5 kuamkia Machi…
Tags: UTEKAJI, NA, MAUAJI, NI, ISHARA

TOP NEWS WEEK HII

No comments:

Post a Comment