Pages

Tuesday, January 6, 2015

INSTAGRAM NI MTANDAO WENYE WATUMIAJI WENGI ZAIDI DUNIANI

iphone_addict

Mtandao wa Instagram umetajwa kuwa na watumiaji wengi zaidi kuliko kuliko twitter. Mmiliki wa Instagram Kevin Systrom amesema instagram imefikisha watumiaji milioni 300 mpaka sasa na wanazidi kuongezeka.

Tofauti na mtandao wa twitter ambao kwa sasa unawatumiaji milioni 284 kwa mujibu wa takwimu zilizofanywa wiki 8 zilizopita.

Baada ya miaka minne toka kuanzishwa kwa mtandao wa instagram sasa Mtandao huu una zaidi ya picha na video milioni 70. Mpaka sasa Facebook inaongoza kwa kuwa na watumiaji bilioni 1.35 .

No comments:

Post a Comment