Pages

Saturday, January 31, 2015

Shakira na Gerard Pique wa Barcelona wapata mtoto wa pili

Msanii kutoka Colombia Shakira mwenye miaka ’37’ amebarikiwa kupata mtoto wa pili na mpenzi wake ambaye ni mwanasoka wa Barcelona ‘Gerard Pique’. Mtoto wao wa pili amepewa jina ‘Sasha’ . Sasha maana yake ni Alexander kwa tafsiri ya lugha ya Kirusi.
Shakira na Gerard walilipia floor nzima ya hospitali ya Quiron Teknono mjini Barcelona kwaajili ya kujifungua kwa Shakira na kukimbia mapaparazzi. Daktari aliyemzalisha Shakira mara ya kwanza ndio amemzalisha tema mara ya pili.
shakira 2
shakira 4 shakira
Mtoto wao wa kwanza anaitwa Milan ana miaka miwili sasa.

No comments:

Post a Comment