Pages
(Move to ...)
Nyumbani
Chombezo
Mahusiano
Makala
Saikolojia
Matangazo
Staa Wetu
Michezo
Magazeti
Makala
▼
Monday, March 9, 2015
MTOTO ALIBINO AKATWA MKONO RUKWA JANA
Mtoto albino, Baraka Cosmas (6) anayeishi na wazazi wake kijijini Kipeta, mkoani Rukwa jana ameshambuliwa na kujeruhiwa vibaya kwa kukatwa kiganja cha mkono wake wa kulia na watu wasiojulikana kisha kutokomea nacho kusikojulikana.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment