Pages

Wednesday, July 22, 2015

Basi la Kidia One lapata ajali Mwanza

20150722020635 attachment.php
Muonekano wa basi la Kidia One baada ta kupata ajali jijini Mwanza.
Basi  la Kidia One lenye namba za usajili T 449 ASZ limepata ajali leo asubuhi ya maeneo ya Mkolani, jijini Mwanza hakuna abiria aliyepoteza maisha.

No comments:

Post a Comment