Pages

Tuesday, July 21, 2015

BREAKING NEWS : LEMBELI RASMI AJIUNGA CHADEMA

 Mbunge wa jimbo la Kahama Mkoani Shinyanga Mhe. James Daudi Lembeli ametangaza rasmi hii leo kuachana na chama tawala CCM na kujiunga na chama cha upinzani cha CHADEMA

No comments:

Post a Comment