Pages

Thursday, July 23, 2015

Shamsa ford alinadi penzi lake!

11352043_1433727903613936_1212634612_n
Mwigizaji Shamsa Ford.
Brighton Masalu
Mwigizaji Shamsa Ford amefunguka kuwa kwa sasa hahitaji mwanaume asiyekuwa na mkwanja, hivyo anaangalia mwenye ‘mavumba’ huku akidai kuwa mwanaume lofa ni kujitwisha msongo.
Akistorisha na paparazi wetu hivi karibuni, Shamsa alisema kuwa, amekuwa akiingia kwenye uhusiano na wanaume wasiokuwa na ‘mpunga’ kwa muda mrefu na kuambulia maumivu na mawazo yasiyokuwa ya lazima hivyo ni bora aumizwe na mwanaume mwenye fedha.
11377440_1605623056347418_815159447_n
“Kwa sasa sihitaji kabisa mwanaume lofa, nataka mwenye ‘nyekundu’,  nipo tayari kwa muda wowote lakini si kurudi kwa wanaume wasiokuwa na kitu,” alisema Shamsa.

No comments:

Post a Comment