Shilole, nimeonewa,kwanini wasingeongea miezi miwili nyuma,nina watu 10 nyumbani kwangu
Shilole amelalamikia uwamuzi wa BASATA kumfungia kufnya muziki na
shughuli za kisanii kwa muda wa mwaka mmoja, Hii video Exclusive kutoka
FahamuTv na Sammisago.com, Audio ya Sauti kutoka BASATA Inasikia pia.
No comments:
Post a Comment