Pages

Wednesday, August 29, 2012

Msaada wa Matibabu kwa mama huyo.

MSAADA WA MATIBABU: Mkazi wa Kijiji cha Mnamba kata ya Nampa mkoa wa Lindi,Rafael Mohamed  (36)anayesumbuliwa na uvimbe wa pua tangu mwaka 1984 akisaidiwa na mtoto wake  Shafi Abdarah mwenye umri wa miaka 18.,kwende kutafuta mahitaji ya kilasiku ,mama huyoanaomba msaada wa matibabu kwani madaktari wa Hospitali ya mkoa wa Lindi wameshindwa kumfanyia upasuaji.

No comments:

Post a Comment