Pages

Wednesday, January 2, 2013

VIMBWANGA VYA MWAKA MPYA MAJUU, WATU WAPOMBEKA MPAKA BASI.

WAKATI wengine wakiwa kwenye nyumba za ibada ili kuukaribisha mwaka mpya nchini Uingereza, kwenye nyumba za pombe ilikuwa ni kufuru, ambapo watu walikandamiza pombe kwa kwenda mbele.
Zifuatazo ni baadhi ya picha zinoonyesha vituko vilivyojiri baada ya watu hao kupombeka.
A young woman takes a break in Newcastle city centre.
                             Kwisha kazi! jeuri ya kusimama hakuna tena
Two revellers in Liverpool in the early hours of this morning
                                  Hapa hakuna wa kumsaidia mwenzake
A couple frolick in Swansea
                                                          Mambo ya kubebana
New Year, Same Old Britain. Revellers in Liverpool partied hard and celebrated the arrival of 2013. The streets where lined with extra polic
                                                Ugomvi haukukosekana
Revellers take to the streets of Cardiff, South Wales, to celebrate New Years Eve. One man urinates outside of a club with his pants dow
                                               Kujisaidia popote!
A drunk lad slouches against a building in Liverpool
                                           Hajitambui maskini
People on Broad Street in Birmingham City Centre during the 2013 New Year's Eve celebrations.
                                                          Nishikie viatu
A man takes a drink from the flooded River Ouse in York
                                                  Kiu cha maji kilipomzidi
                              Chanzo cha habari www.saluti5.com

No comments:

Post a Comment