Pages

Friday, March 29, 2013

BREAKING NEWS ! INDIRA GANDHI NA MOROGORO RD JENGO LA GOROFA ZAIDI 16 LIMESHUKA LOTE

Jengo lililokua bado linaendelea kujengwa katika makutano ya barabara ya Indra Gadhi na morogoro lenye ghorofa zaidi ya 16 limedondoka wakati likendelea na ujenzi na kuangukia msikiti ambao unasadikiwa kuwa na madrassa ambayo kulikua na wanafunzi ndani wakati wa tukio
                     Jengo hili lililopo mjini katika mtaa wa Indra Gjandi limeanguka asubuhi.
Mpaka sasa watu watu 12 wameshapoteza maisha,limedondokea msikiti wa SHIA.
Mpaka sasa eneo la tukio kuna mkuu wa mkoa wa Dar es salaam na meya,Mmiliki wa jengo hilo bado hajajulikana.Ndani ya jengo hilo kulikuwa na watu wasio pungua 60 wakiendelea na ujenzi.Watu zaidi ya 14mpaka sasa wameshakimbizwa hospitali.Tutaendelea kuwajulisha zaidi.

No comments:

Post a Comment