Chanzo bado hakijajulikana waokoaji wako wanaendelea na shughuli za uhokoaji zinaendelea..
Limeangukia msikiti na ndani kulikuwa na watoto,mpaka sasa watu 10 wameshakimbizwa hospital.Jengo hilo lilikuwa linaendelewa kujengwa lina golofa 16.
PICHA ZOTE NA IRENE JAMII Blog Habari kamili kuwajia baadae...
Picha kutoka K/KOO eneo la tukio.
No comments:
Post a Comment