Pages

Thursday, March 28, 2013

Breaking News:Mbunge wa Chambani Salim Hemed Khamis,amefariki dunia muda mfupi uliopita.

 
Katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili .Taratibu za kuusafirisha mwili kuelekea Pemba kwa mazishi zinafanyika.

No comments:

Post a Comment