Pages

Saturday, March 30, 2013

DIAMOND PLATINUM AFUNIKA GEITA USIKU WA KUAMKIA LEO

....usipime....

Taratibu ikaanza nyimbo...
Rais wa Wasafiii ....eeeee...Platinumzzzzz
CD ikigoma huna kazi hapa....

Moyo umetoka ghafla ukaamia jukwaani.......
Moto ni ule uleeeee...
Geita na sisi tumo.....kidigitali

usipime jukwaani ...hakuna zaidi yetu...
Uongozi si kazi lele mama..lazima kazi ijionyeshe..
kundi la Wasafii (kushoto) wakimcheki mkuu wao akifanya kilichomleta Geita usiku huu..
Kazi ikiendelea jukwaani....
mhh...


Mashabiki wa Diamond Platinum...
Hapa mwendo ule ni ule.....


Mashabiki wakicheki kundi zima jukwaani likifanya majambozii...usiku huu
Nokia, sony Ericsson, mchina....zote zilimulika ...


ulinzi lazima....
Raha ikafata kwa wasafiiii...
Rais wa Wasafii hapa akicheki vijana wake hao kwa kazi nzima ya kukonga nyoyo za wanageita.


Weeeeee weeee....

Dada mizuka ilipanda akajikuta na Diamond jukwaani

No comments:

Post a Comment