Pages

Friday, March 1, 2013

MWANAMUZIKI NYOTA NIGERIA APIGWA RISASI ZA KICHWA NA KUFARIKI PAPO HAPO

MSANII Hip hop nchini Nigeria, Olaniyan Damilola maarufu kama Damino Damoche, jana mchana alipigwa risasi na kufariki papo hapo.
Damoche alipigwa risasi kwenye geti la la Chuo Kikuu cha Lagos State Ojo (LASU) alipokuwa akisomea Banking & Finance.
Msanii huyo alipigwa risasi mbili za kichwa na watu wanaohusishwa na imani kali za kidini muda mfupi baada ya kutoka kwenye mtihani.Damoche alijipatia umaarufu kwa wimbo wake “Obo to she”.

No comments:

Post a Comment