Pages

Sunday, May 5, 2013

CHRISTINA SHUSHO NI MUIMBAJI WA NYIMBO ZA INJIRI ANAYEVUTIA KUMSIKILIZA.

Huyu ni miongoni mwawasanii wa nyimbo za Injiri wanaofanya vizuri sana sana nchini Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla.
Kutokana na ubora wa ujumbe wake katika nyimbo zake, wokovu na kumpenda Yesu Kristo - Christina Shusho anajikuta akiwa na mashabiki Afrika na nje ya Afrika wanaokiri kupenda kazi zake mbali mbali.

"Wewe kama ni shabiki wa ukweli wa Msanii Christina Shusho, Je ni wimbo gani unaoupenda au unaokubariki kati ya nyimbo zake zote alizokwisha imba? Weka maoni yako hapo chini.

No comments:

Post a Comment