Pages

Thursday, August 29, 2013

MAJAMBAZI WAPORA MAMILIONI BENKI YA HABIB AFRICAN KARIAKOO.

 
-Walikuwa wamevaa sare za Jeshi la Polisi
-Jeshi la Polisi lathibitisha kutokea tukio hilo
WATU wanaodhaniwa kuwa ni majambazi waliokuwa wamevalia sare za Jeshi la Polisi wamevamia Habib African Bank ililyopo Kariakoo jijini Dar es Salaam na kupora mamilioni ya fedha. Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es Salaam wamethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Chanzo: ITV

No comments:

Post a Comment