Pages

Monday, August 12, 2013

OMMY DIMPOZ AFANYIWA MAPOKEZI MAKUBWA NCHINI BURUNDI.

Ommy Dimpoz licha ya kukwama kwa muda kidogo kwenye Airport ya Jomo Kenyatta, hatimaye aliweza kufika nchini Burundi na kufanya show. Baada ya kufika Burundi,  njiani kuelekea kwenye show Ommy Dimpoz alifuatwa na kundi kubwa la watu wakifuatilia gari lake huku yeye akiwapungia mkono. Cheki hii piommy

 

No comments:

Post a Comment