Padri wa kanisa KATOLIKI amwagiwa tindikali huko Zanzibar..Siku ya jana.
Padre
Ancelmo Mwang'amba wa Kanisa Katoliki Parokia ya Cheju Zanzibar
amemwagiwa tindikali katika mgahawa wa Sun Shine uliopo Mlandege,
Zanziabar na kusababishiwa maumivu makali sana.
No comments:
Post a Comment