TIB YAZINDUA OFISI NA TAWI KANDA YA JUU KUSINI JIJINI MBEYA
Mkuu
wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro (kulia) akikata utepe kuzindua ofisi za
Makao Makuu ya Benki ya Maendeleo Tanzania (TIB) ya Kanda ya Nyanda za
Juu Kusini na Tawi la benki hiyo Mkoa wa Mbeya iliyofanyika jijini Mbeya
jana. Kushoto ni Mkurugenzi Mwendeshaji wa TIB, Peter Noni na
Mwenyekiti wa Bodi ya TIB, Prof. William Lyakurwa.
No comments:
Post a Comment