Pages

Monday, January 27, 2014

MTIKISIKO WATOKEA KATIKA JENGO LENYE OFISI ZA TIGO MAKUMBUSHO JIJINI DAR

Taswira ya jengo la Derm lenye ofisi za Tigo ulipotokea mtikisiko leo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Camilius Wambura.
Meneja Chapa wa Tigo, William Mpinga akiongea na wanahabari (hawapo pichani).
Makamanda kutoka Jeshi la Polisi wakiwa eneo hilo la tukio.
Eneo la jengo hilo likiwa limefungwa kwa usalama wa wafanyakazi na watu wanaopita eneo hilo kupisha uchunguzi.
(PICHA NA BALINABAS MANYILIZU / GPL)

No comments:

Post a Comment