MSANII
wa filamu nchini Athumani Lali 'Budege' baada ya kucheza filamu za watu
sasa ameamua kuja na filamu zake mwenyewe na kuwawezesha wasanii wenzie
kuwa na kipato kizuri baada ya kuamua kufungua kampuni yake binafsi
inayokwenda kwa jina la AJM Entatainment ambayo ina husika na maswala ya
filamu za kibongo
No comments:
Post a Comment