STAA wa kike mwenye uwezo wa kucheza na hisia kwenye
filamu za Kibongo, Wastara Juma, amesema kwa sasa anahitaji muda mwingi
wa kupumzika kutokana na misukusuko mingi iliyomkumba siku za hivi
karibuni.
Akiteta na paparazi wetu kwa sauti ya chini na ya upole alisema:
“Nahitaji muda mwingi wa kupumzika jamani, kuna mambo yameniondoa
kabisa kwenye ‘mudi’ ya kawaida hivyo natumia muda mwingi kuwa peke
yangu.”
No comments:
Post a Comment